on Aug 7th 2004, 21:59:37, adam shabani wrote the following about
alQaida
|
|
ninaandika kwa kiswahili
napenda kutoa maoni yango kuhusu osama na kuwaelewesha waislam wenzangu ya kuwa osama vita anayo pigana kwa sasa sio jihad kwa sababu iko nje yakanuni za jihadi anauwa wazee watoto mateka wa vita wakati mtume muhama akufanya hayo katika vita alivyo pigana vya jihad pi nawashauli waislam wenzangu wafikiri kabla ya kuamua wasifate mkumbo
[escape links: Spieks | Romeo&Juliet | Door | Stinkle | Satan]
|
If these tips get on your nerves, just ignore them.
|
|